Are you an artist? Make the most of your lyrics with Musixmatch Pro!
Translations (1)
Share
These Lyrics are yet to be verified
9 contributions
about 10 years ago
Translations
English

Lyrics of Ee Mungu Nitakushukuru by Rose Muhando

Ee Mungu wangu mimi ninatukushukuru
Mbele ya mataifa mimi nitaimba
Dunia nzima nayo itambue hilo
Kwamba jina la Yesu pekee ndilo
Ulimwengu mzima uokolewe kwalo
Asubuhi na mapema, mimi nitaimba
Kabla ya kinywa kunena, kwako nitaimba
Tufani ijapozidi wo, kwako nitaimba
Nijapoteswa kabisa, kwako nitaimba
Nijapozarauliwa, kwako nitaimba
Swiyi, swiyi, swiyi, swiyi sikia e kinanda
Swiyi, swiyi, swiyi, swiyi amka e kinubi
Swiyi, swiyi, swiyi, swiyi sikia e kinanda
Swiyi, swiyi, swiyi swiyi sikia e kinubi
Inuka e zumari, imba kwa sauti
Inuka e zumari, imba kwa sauti
Wo wo wo wo na utukuzwe Mungu
Wo wo wo wo na utukuzwe Mungu
Ye ye ye ye Jehova Adonai
Ye ye ye ye Jehova Adonai
El Gibo Shalom Mungu unaitika
El Gibo Shalom Mungu unaitika
Uniondolee majivuno, komesha kiburi
Utawale akili zangu, Bwana niongoze
Uifundishe roho yangu habari za mbingu
Sikizeni eh kizazi changu, Mungu anaishi
Uniondolee majivuno, komesha kiburi
Utawale akili zangu, Bwana niongoze
Uifundishe roho yangu habari za mbingu
Sikizeni eh kizazi changu, Mungu anaishi
Nipe moyo ya nyama, ulopondeka
Moyo uliotulia, na unyeyekevu
Mimi si kitu kwako, ni mzuri tu
Mimi ni kama nani, uniinue
Unifinyange Bwana, kama upendavyo
Unifundishe Bwana kama upendavyo
Swiyi, swiyi, swiyi, swiyi sikia e kinanda
Swiyi, swiyi, swiyi, swiyi amka e kinubi
Swiyi, swiyi, swiyi, swiyi sikia e kinanda
Swiyi, swiyi, swiyi swiyi sikia e kinubi
Inuka e zumari, imba kwa sauti
Inuka e zumari, imba kwa sauti
Wo wo wo wo na utukuzwe Mungu
Wo wo wo wo na utukuzwe Mungu
Ye ye ye ye Jehova Adonai
Ye ye ye ye Jehova Adonai
El Gibo Shalom, Mungu unaitika
El Gibo Shalom, Mungu unaitika
El Gibo Shalom, Mungu unaitika
Nikikuita Mungu, unaitika
Rohi eloie heika meka noishikimu
Jira El Shadai, Jehova Oseenu
El Elyo Shammah, Mungu unaitika
Jehova Shabbah, Mungu utanijibu
El Gibo Shalom, Mungu unaitika
El Gibo Shalom, Mungu unaitika
El Gibo Shalom, Mungu unaitika
Swiyi, swiyi, swiyi, swiyi sikia e kinanda
Swiyi, swiyi, swiyi, swiyi amka e kinubi
Swiyi, swiyi, swiyi, swiyi sikia e kinanda
Swiyi, swiyi, swiyi swiyi sikia e kinubi
Inuka e zumari, imba kwa sauti
Inuka e zumari, imba kwa sauti
Wo wo wo wo na utukuzwe Mungu
Wo wo wo wo na utukuzwe Mungu
Ye ye ye ye Jehova Adonai
Ye ye ye ye Jehova Adonai
El Gibo Shalom, Mungu unaitika
El Gibo Shalom, Mungu unaitika
El Gibo Shalom, Mungu unaitika
El Gibo Shalom
Itika Baba yangu, Baba yangu Shalom
Itika Mungu wangu, Mungu wangu Baba
Itika Baba yangu, Baba yangu, Baba
Itika kwa wagonjwa, kwa wagonjwa Shalom
Itika kwa wajane, kwa wajane
Itika kwa yatima, kwa yatima
Itika kwa waimbaji, kwa waimbaji
Haleluya Shalom
Itika kwa kanisa, kwa kanisa
Itika kwa Tanzania, kwa Tanzania
Itika kwa walemavu, kwa walemavu
El Gibo Shalom
Tuimbe Haleluya, Haleluya
Tuimbe Haleluya, Haleluya
Itika Baba yangu, Baba yangu, Shalom
Writer(s): Rose Muhando

Contribute

To-do

Structure Tag
Identify the song's sections

Completed

Lyrics
Lyrics in time with music
Performers Tag
Identify who's singing what

Credits

This song has no credits yet

Contributions

Last edit about 10 years ago
Are you an artist? Distribute your lyrics!
Take full control of your lyrics. Curate, sync, and distribute your lyrics on Spotify, Apple Music, and more.
Explore Musixmatch Pro