Yashaniunguza mi nataketea
Niliwakana watoto wangeniuguza sikutegemea
Na kama dunia tambala langu lishatoboka
Sina hata pa kulala nakesha kwa Kimboka
Wale marafiki niliokula nao
Eti sina kiki siendani nao
Kwa kuwa sina kitu mfukoni
Kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
Nikakesha kula bata najisahau
Oh sina (hata wa kunifariji)
Oh sina (kunipa moyo niendelee)
Asiyefunzwa na mama hufunzwa na dunia, misemo ya wahenga
Ponda mali eti kufa kwaja, hehehee
Kumbe nivukako mbali navunja daraja
Peke yangu naongea Hamnazo
Kama pesa nilipata nikadharau
Nikakesha kula bata najisahau