verse
Ah! Usinione nalia, moyoni naumia
Kila siku ma-ugomvi, unanukia ma-bia
Ina maana unataka useme huu moyo wangu hatambui
Thamani ya mapenzi ndo' imegeuka kuwa uadui
verse
Nimekuimbia nyimbo bado, nkakupa moyo bado
Nikakupa life na true love, ila baby bado
Nimekuimbia nyimbo bado, nkakupa moyo bado
Nikakupa life na true love, ila baby bado
chorus
Kisa (kisa), kupendwa nawe
Kwanini ukose raha? (Raha)
Kisa (kisa), kupendwa nawe
Kwanini ukose raha? (Raha)
Kisa (kisa), kupendwa nawe
Kwanini ukose raha? (Raha)
Kisa (kisa), kupendwa nawe
bridge
Naumia, 'umia, 'umia, 'umia, 'umia, eh-eh!
Naumia, 'umia, 'umia, 'umia, 'umia
chorus
Kwanini ukose raha? (Ukose raha)
Kisa (kisa), kupendwa (ye-iye) nawe (nawe)
Kwanini ukose raha? (No, no, no, no!)
Kisa, kupendwa nawe (nawe)
Kisa, kupendwa (kupendwa) nawe (nawe)
Kisa (kisa), kupendwa nawe