Are you an artist? Make the most of your lyrics with Musixmatch Pro!
Verified by Curator
15 contributions
about 1 year ago
Translations
English

Lyrics of Muziki by Darassa,Ben Pol

Rudi utotoni
Usipotembea utabebwa mgongoni
255 champion boy niite Mbwana Samatta
Wanaota mapembe waongezee mkia
Na ukinibeep tu nakupigia
An′ let me make one thing clear
Blaa blaa sitaki kusikia
So simba so chui so mamba (Hhah)
Ngozi yangu inatosha kujigamba (Hhah)
Na sina maneno ya kwenye kanga
Ni kazi juu ya kazi yaani bambaa tu bambaa
Kuzaa unaweza kuzaa kizaazaa
Sinzia fegi uchome kibanda
Kalale uote ndoto zako za kitanda
Sisi bado tupo macho mida ya wanga
Funga mkanda
Kaza na kamba
Ama ufate nyayo uchane msamba
Pasua miamba
Pasua anga
Tunasemaga chambua kama karanga
Maisha na muziki acha maneno weka muziki
Ukiwa sap ukiwa hack ukiwa juu ukiwa chini piga muziki, (yeeeeah)
Safari na muziki (heah)
Acha maneno weka muziki (yeeeah)
Kila unachopenda na ukitaka kucheza cheza muziki
Bambataaa shika kamataa
Pumba chakacha
Kaboka mchizi nshadataa nshadataaah
Unataka kukimbia na hauna brekii
What do you expect?
Bongo, Congo kwa Thabo Mbeki
Cheza lokasa ya mbongo huwezi ku make
Watch youtself usije ukajiconfuse
Mzuka wa kuruka reggae kwenye blues
Huna mchuzi no excuse
Maisha yetu ya kila siku kama vile movie
Vitu vingine havitakagi ujuaji
Utajikuta unatandikia watu jamvi
Kusubiria embe chini ya mnazi
Kumuelewesha chizi utajipa kazi
Funga mkanda
Kaza na kamba
Ama ufate nyayo uchane msamba
Pasua miamba pasua anga
Tunasemaga chambua kama karanga (uwiiiiiii)
Maisha na muziki acha maneno weka muziki
Ukiwa sap ukiwa hack ukiwa juu ukiwa chini piga muziki (yeeeeah)
Safari na muziki (yeeeah)
Acha maneno weka muziki, (yeeeah)
Kila unachopenda na ukitaka kucheza cheza muziki
Wanatamani tupotee kwenye map
Tunapeleka game to the top top
Is that I told yah, that we don't stop
We don′t stop, we don't stop
Wanatamani tupotee kwenye map
Tunapeleka game to the top top
Is that I told yah,that we don't stop
We don′t stop, we don′t stop
Writer(s): Ramadhani Thabit Shariff, Thabit Janati Mango, Remy Mushi, Sweetbeth Mwimula, Benard Puol

Contribute

To-do

Structure Tag
Identify the song's sections

Completed

Lyrics
Verified by Curator
Performers Tag
Identify who's singing what

Credits

This song has no credits yet

Contributions

Last edit about 1 year ago
Show 15 contributors
Are you an artist? Distribute your lyrics!
Take full control of your lyrics. Curate, sync, and distribute your lyrics on Spotify, Apple Music, and more.
Explore Musixmatch Pro