Are you an artist? Make the most of your lyrics with Musixmatch Pro!
Add translation
Share
Verified by Curator
0 contributions
over 1 year ago
Translations
English

Lyrics of Machozi by Bahati

intro

Ooh Bahati Bahati tena
Maachozi machozi ii,
Machozi mamaye
Machozi skiza papaye

verse

Vidonda vichungu na fikra ona
Vile niliumia
Machozi machungu nakuta mbona
Hakuna vile ningeficha
Vidonda vichungu na fikra ona
Vile niliumia
Machozi machungu nakuta mbona
Hakuna vile ningeficha

verse

Maisha yangu ya uswazi
Kasoro mali
Wapi wangu waniokoe
Napoteza mzazi uchungu wa mwana
Mbona Mola uniondoe
Maisha yangu ya uswazi
Kasoro mali
Wapi wangu waniokoe
Napoteza mzazi uchungu wa mwana
Mbona Mola uniondoe

pre-chorus

Nilikosa hata moyo
Kucha poyoyo
Niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga
Nililia msela

chorus

Nilijawa machozi
Mbona mimi
Maswali kwa Mola
Mbona mimi
Nilijawa machozi
Mbona mimi
Mbona dunia uchungu
Mbona mimi

chorus

Nilijawa machozi
Mbona mimi
Maswali kwa Mola
Mbona mimi
Nilijawa machozi
Mbona mimi
Mbona dunia uchungu
Mbona mimi

bridge

Oooi oooi oooi oooi
Oooi oooi oooi oooi

verse

Mziki kufanya
Nafanya napata gharama
Kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu
Niliota kupenya
Mziki ilifanya sana napata gharama
Kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu
Niliota kupenya

verse

Ilikuwa uchungu mandugu zangu
Nilijawa naumia aai
Ilikuwa machozi sina hata pozi
Ila tumbo inalia aai
Ilikuwa uchungu mandugu zangu
Nilijawa naumia aai
Ilikuwa machozi sina hata pozi
Ila tumbo inalia aai

chorus

Nilijawa machozi
Mbona mimi
Maswali kuwa Mola
Mbona mimi
Nilijawa machozi
Mbona mimi
Mbona dunia uchungu
Mbona mimi

chorus

Nilijawa machozi
Mbona mimi
Maswali kuwa Mola
Mbona mimi
Nilijawa machozi
Mbona mimi
Mbona dunia uchungu
Mbona mimi

hook

Oooi oooi oooi oooi
Oooi oooi oooi oooi

verse

Ulofa naye ukaniweka chini
Niende wapi mwenzio
Niliangaika kuishi mjini
Mashambani hivo hivo
Ulofa naye ukaniweka chini
Niende wapi mwenzio
Niliangaika kuishi mjini
Mashambani hivo hivo

verse

Niliandika wangu kuonyesha mapenzi
Hapo siku ya kwanza
Maulana kwangu ukakuwa mpenzi
Nilijua ukaniacha
Niliandika wangu kuonyesha mapenzi
Hapo siku ya kwanza
Maulana kwangu ukakuwa mpenzi
Nilijua ukaniacha

pre-chorus

Nilikosa moyo kuchuna poyoyo
Niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga
Nililia msee aai

chorus

Nilijawa machozi
Mbona mimi
Maswali kwa Mola
Mbona mimi
Nilijawa machozi
Mbona mimi
Mbona dunia uchunga
Mbona mimi

chorus

Nilijawa machozi
Mbona mimi
Maswali kwa Mola
Mbona mimi
Nilijawa machozi
Mbona mimi
Mbona dunia uchunga
Mbona mimi

outro

Mbona mimi
Mbona mimi
Si amini ni mimi leo
Maulana hayali mbivu oooh
Si amini ni mimi leo
Rabuka hafungi sikio

outro

Mbona mimi
Mbona mimi
Si amini ni mimi leo
Maulana hayali mbivu oooh
Si amini ni mimi leo
Rabuka hafungi sikio
Writer(s): Kelvin Kioko Bahati

Contribute

To-do

Performers Tag
Identify who's singing what

Completed

Lyrics
Verified by Curator
Structure Tag
Identify the song's sections

Credits

This song has no credits yet
Lover
Lover
Album • 2016 • 6 tracks
Are you an artist? Distribute your lyrics!
Take full control of your lyrics. Curate, sync, and distribute your lyrics on Spotify, Apple Music, and more.
Explore Musixmatch Pro